Friday, 3 February 2017

Salome Lyrics Diamond Platnumz ft Rayvanny

Diamond Platinumz ft Rayvanny
Salome
Kioo hakidanganyi mama
Umejipodoa umepodoka
Mwendo na jipwa, vyote mwanana
Visuruari yanidondoka
Tukimbizane nini Saloome wangu? Hiyo michezo ya jogoo
Ona watizama chini Salome wangu, ukimwona jongoo
Inama kidogo, shika magoti
Mimi nimesimama kama ngongoti
Mtoto jojo sio roboti, chumbani bingri bingiri samasoti
Unanitekenyanga ukinyonga Salome
Unanitekenyanga ukinyonga
Unanitekenyanga ukinyonga kweli
Unanitekenyanga ukinyonga
Olera bakuruvai Olera Mbambey
Olera na Zalima Olera Mbambey
Utamkolea, aporokoto
Ting’ali tinga’li yaani pamoto
Ntamnyongea, msokoto
Tamu si mukali kama koboko eh!
Mapenzi yananipa shida, shida mama
Ni donda liso kuwa na tiba, tiba bwana
Usije baby, kanicharanga
Kanichambua moyo kakaranga
Mie baby kwenye msamwana
Uwasinganjigenge ni nganganga
Unanitekenyanga ukinyonga Salome
Unanitekenyanga ukinyonga
Unanitekenyanga ukinyonga kweli
Unanitekenyanga ukinyonga aah
Olera bakuruvai Olera ngambey
Olera na Zalima Olera ngambey
Mmmyey! Mwenzako nyang’anyang’a
Mmmyey! Binzari me ndo nyanya
Baby kwangwang, nisimamie kama kangaroo
Ibambe kangwang, babu Juma mpige kwagwaru kwagwaru kwaa
Aiseh Chambua kama karanga Sasa,
Chambua kama karanga
Ichambue kama karanga Salome
Chambua kama karanga
Aiseh washa, washa
Moto washa washa
Songa, songa ugali songa songa
Mpaka chini ah chini x2
Wenye wivu wajinyoge leo,
Wenye wivu wajinyonge
Ooh wenye wivu wajinyonge sana
Wenye wivu wajinyonge
Wenye wivu wajinyonge kweli
Wenye wivu wajinyonge
Ooh wenye wivu wajinyonge sana
Wenye wivu wajinyonge
Wanakodoa kodo, wanakodoa
Macho kodo, Wanakodoa kodo wanakodoa
Wale kodo wanakodoa kodo,wanakodoa
Ukinyonga, Wanakodoa kodo, wanakodoa

Ukisonga, wanakodoa kodo, wanakodoa

No comments:

Post a Comment