Thursday, 2 February 2017

Akothe uko moyoni lyrics

Akothee- yuko moyoni lyrics


simzuki kwa pesa wala nguo,sijasoma kidato wala chuo

Tena nina madeni mpuguo lakini kadata na mimi

mimi katasaye funguo ,anazama nami bila kituo

Na rangi yangu ya kijaluo ndio inamkata ulimi

usitoe jonzi langu ona sasa nimetulia

Nampa moyo wanguu ,kanipa wake namtunzia

{hanipigi roho anipa kubwa kubwa sidogo

Nikimpa kidogo,tamu mpaka anakuna kisogo} X2


Chorus

{la laaaah ananichanganya changanya yuko moyoni

ba baaaah aniweza sana mpaka wengine sioni X2



le leeeeh yuko moyoni  mmmh mpaka wengine sioni x2

yuko moyoni ata wengine sioni x2}


verse 2

yeye aliponipalia mapenzi nilijuta, nikajifanya ngamia siwezi kuanguka

sikuacha kulia moyo ukinisuta, nimezunguka Dunia leo nimemkuta

(mi na yeye ye yeyeee, ye na mimi mimiiii)X2

eeeh wenye uchungu uu mwende mataniti si msitupange

maana chungu kimepata mpini wacheni  akitwange.X2

CHORUS


{My sweety potato eeh oohhh, my tomato Jossy eeh ohh
you're the papa of my pikiny oooh
for the love you go de give me  oh}x2

ah ha ha ha  basi uza simu ununue voucher

kwa story za umbea joh.

he he he , hi hi hi

Akothee black beauty

ngoja kwanza

endless, flawless,ebonileess

ha ha ha aaaaaiiiih


No comments:

Post a Comment