Song: Lupela
Artist: Alikiba
Director:
Pokea zangu salamu
Wangu mimi
Mwambie ameshakuwa nahitaji
kukua
Kwanza uwe na mume,
utambe na uringe
Nami nina mke ili
unichuunge
Mng’aro nuru yako,
kama mbala mwezi
Na uzuri wa macho
yako yameng’aa machozi
chorus
((((Eh eh lupee)
Umeumbwa mama (ehx2) uwee wangu
unapendeza
(Lupeex3) Lupela uwe
wangu unapendeeza(eh luwiluwiluwi x3)unapendeza))))
Saa ni nini wapi
Twende visiwani ama
chini baharini au tupae angani
Wewe baba si jaji na
we mama si jaji
Niuvishe lawangu wale hadhul dhahuudhl
(((((
Chorus
)))))
Waite ite marafiki zako
Baba mama yako
Waje lupeex2 waje
wacheze (haaah!) lupee
Lupela (aaah) lupe
wewe rejea
No comments:
Post a Comment