Friday, 3 February 2017

Bahati ft Denno Story Yangu lyrics

Song- Story Yangu
Artist- Bahati ft Denno
Mmmm yee hey hey hey oooh
Story yangu,
Niskize (Mtoto mama, hivi unavyo niona (ah)
Mimi Denno, nimetoka na mbali sana ) x2
Hey hey, na
Tange me nikazaliwa, hata mwangaza,
Sikuwai kuja kuona, ey hey yeeh
Tange me nikazaliwa, hata mwangaza,
Sikuwai kuja kuona,

((Story yangu x2
Hebu rafiki, nipe sikio, mimi nataka simulia)) x2

Najua uchungu, maswali mengi kwako moyoni
Kwanini Molla iwe hivi, kwanini Mola iwe mimi
Najua uchungu,na mimi haunioni, niko na rasta lakini mbona
Nimefungika wapewa story, at nine
Mama alipoondoka, skiza nikupe story, kumbuka ghetto ni ngori
At nine, baba akanitoka, sana ikiwa machozi,
Mchanga na sijiwezi,
Maisha kung’ang’ana nkaona siwezi,
Ndoto zangu nkatupa mbali, ila leo niko mahali
Maisha kung’ang’ana nkaona siwezi,
Kumbe Mungu aliona mbali, hivi mingi amenipa mimi

((Story yangu x2
Hebu rafiki, nipe sikio, mimi nataka simulia)) x2

((Mungu ni mwema story imebadilika,
Leo hii, tunaimba wanabarikiwa)) x2

((Story yangu x2
Hebu rafiki, nipe sikio, mimi nataka simulia)) x2











No comments:

Post a Comment