Dela ft H_art the Band -
Adabu lyrics
woman you make me feel like a thousand
shillings
sio coins but noti, me you, minus tie
shati na koti
heaven floating hoping and i make you
feel like a lady
hahahha sedong
ooww yeah
CHORUS
{
nataka unifunze adabu,
penzi langu tamu kama madafu
nipe nipe hilo penzi la ajabu,
usikawie, usikawie
usikawie bila sababu, songa karibu yangu
mummy
nataka unifunze adabu usinipimie,
usinipimie
}
ua umechanua ukikawia utanyauka
jua likishamvua nimegundua utaniua
wanipagawisha, long time its been kuna
kiangazi
tukutane wapi, nikupate wapi? hehehee
(wewe ni mubaya baya, mafuta moto kwa
karaya raya
nitaimba bila haya haya, wewe ni pasta me
ni kwaya kwaya) X2
CHORUS
mpenzi uka ngute let me let me talk to
you
for a minute coz lately, i seem not to be
okay
wanifanya nakuwaza kishenzi,
wanifanya nahisi ni kama naoga na maji
vugu vugu
yaani ngumise ngwa watu ukuta hey
kizungu zungu,
its been a long long time since i felt
this way,
and i've been longing n waiting to see
your face
songea karibu ni ruhusu nikubusu
sauti yako mpenzi nataka kusikia daily
(baby you light me fire
nikiwa nawe me sioni haya
mambo yote sawa, siwezi kwacha, ata na
dawa ya mganga) X2
CHORUS
wewe ni mubaya baya, mafuta moto kwa
karaya raya
nitaimba bila haya haya, wewe ni pasta me
ni kwaya kwaya
baby you light me fire
nikiwa nawe me sioni haya
mambo yote sawa, siwezi kwacha, ata na
dawa ya mganga
CHORUS
No comments:
Post a Comment