Song- Vanity
Artist- Dady Owen
Namuona na gari kubwa
kuliko shida zake,
Namuona na
wanawake(wanawake)
Alisema hakuna Mungu
watu wajipange,
Anadhani ni nguvu
zake,
Akigonjeka, daktari
anatoka ng’ambo,
Akiboeka, hapo utaona
mambo
Maombi kwake ni
kelele,
Ndio nimeona
nikueleze(oh oh)
Hashtag(hashtag),
Nebukadineza
Sauli pia atakueleza,
Nasema , Hashtag(hashtag)
Haijalishi yale umeweza
(((Yote ni vanity (oh
oh) vanity (oh)
Bila yesu ni vanity
(oh oh) (vanity)))) x2
Namuona na sketi fupi
kuliko miaka yake,
Anataka tumeze mate,
Alisema mmoja hawezi
zima moto wake,
Ana wanaume wanane,
Haupatikanisani, ila
ile siku ya harambee
Ya Asusu (Asusu we
Asusu)
Haamini Mungu yupo,
Yeye husema atalishwa
na matunda,
Ya usupu (usupu we
usupu)
Nasema Hashtag(hashtag),
Nebukadineza
Sauli pia atakueleza,
Nasema , Hashtag(hashtag)
Nebukadineza
Haijalishi yale
umeweza
(((Yote ni vanity (oh
oh) vanity (oh)
Bila yesu ni vanity
(oh oh) (vanity)))) x2
Usimdharau binadamu
mwenzio kuwa eti wewe una pesa mali na magari
Haya yote ni ubatili,
Shukuru Mungu kwa
uhai, usijisifu sana
Huu mwilini ni
chakula cha mchwa
(((Yote ni vanity (oh
oh) vanity (oh)
Bila yesu ni vanity
(oh oh) (vanity)))) x2
Vanity vanity, Mbele
za Bwana
Vanity vanity, Mbele
za Mungu
Ubatili mbele za
Mungu tuwache
Kaa x3 vizuri mbele
za Mungu
Kaa x3 vema mbele za
Bwana
Ohwe vanity x2 ohwe
No comments:
Post a Comment