Friday, 10 February 2017

King Kaka Ft RedFourth Choir - Senzema lyrics

King Kaka Ft RedFourth Choir - Senzema lyrics

[intro]
Senzenina x4

okay
king Kaka
footprints kando ya bahari nikiskia sinphone ya maji
vile samaki na boat zinadance kweli Mungu ana kipaji
bt all good things ziko na mwisho
i think the end ndio huitwanga kifo
ulienda kama warrior sababu wewe ndio ungetuwakilisha
lini unamaliza quest? lini unaitamatisha?
already kuna ng'ombe nono ukirudi tunaichinja
maisha skuizi inanisakata wacha vile tulikuwa tunasakata dimba
room yako tumeiwacha the same vile tu ilikuwa inkaa
ile poster zile viatu na tulifold nguo vile ulikuwa unazipanga
ntaangalia na nani Sunset vile inazama ndani
kama hurudi itumbukie na isitoke uko ndani
ile pilau tulijaribu kuipika kumbe ni mchele tu
sijui nini ilifanyika me wakilil wako niambie nikutete tu
walisahau jina yako skuizi wanakuita marehemu na the late
najua it's not too late, kwangu is now
kuja tushare meal na wewe kwa plate
macho zangu ziko na layer ya sadness
akitoka shule saa zingine husahau anauliza uko wapi moran
Agnet unakubuka vile nilikuwa nasema nataka kwenda gym
niloose weight
i think the future hufavour the bold
mchana yangu ndio usiku
usiku yangu ndio mchana
ambia Mungu kam basi tuone tu sunset pamoja
sunset tu moja wacha niumie
niumize matumbo nikingoja
unakam when niplan?
staki mabeshte wako wamiss please
zile jordan, unakam when tucheze ps
tupe signs smoke signal tuma messenger basi
niandikie barua niende poster kesho ama
andika kitu kwa sky najua handwritting yako ama
niangalie juu lini? usiku au mchana ama?
usiandike saa zile jua inanidistract c unanijua ama?
c unakumbuka macho zangu hazido poa na taa ama
hii ni ndoto ama? ni kama nikiamka ntakupata nje ama
ama tu umehama na nalala ama
ama  nasleep talk nikiamka ntakupata ama
wanasema kama sina mbona nachagua ama
ama umeenda na umeniachia tu memories ama

[outro]

Senzenina (till fade)

No comments:

Post a Comment